
Pichani juu na chini ni Balozi wa
Jamhuri ya Djibouti-Tanzania, Saidi Amin Shamo akiongea machache kwenye
hafla fupi ya kutimiza miaka 35,mbele ya wageni waalikwa mbalimbali
wakiwemo mabalozi kutoka sehemu mbalimbali,hafla hiyo imefanyika jioni
ya jana nyumbani kwa balozi huyo,jijini Dar.

Sehemu ya baadhi ya wageni waalikwa
wakisikiliza hotuba fupi iliyokuwa ikitolewa na Balozi wa Jamhuri ya
Djibouti, Saidi Amin Shamo,kwenye hafla fupi ya kutimiza miaka 35 ya
jamhuri ya Djibout iliyofanyika jioni ya jana jijini Dar.

Wageni waalikwa wakijadiliana jambo,Pichani kati ni Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Bw.Joseph Kusaga.

Wageni waalikwa mbalimbali wakiwa
wamekusanyika nyumbani kwa Balozi wa Jamhuri ya Djibouti-Tanzania, Saidi
Amin Shamo,wakisherehekea hafla fupi ya kutimiza miaka 35 ya jamhuri
ya Djibout iliyofanyika jioni ya jana jijini Dar.

Burudani kama hivi ilikuwepo kwa wageni waalikwa waliofika kwenye hafla hiyo.

Balozi wa Jamhuri ya Djibouti-Tanzania,
Saidi Amin Shamo akimpokea mgeni rasmi wa hafla hiyo,Rais mstaafu wa
awamu ya pili,Mh.Ally Hassan Mwinyi alipokuwa akiwasili nyumbani kwa
balozi huyo.

Balozi wa Jamhuri ya Djibouti, Saidi
Amin Shamo akimkaribisha Sir Andy Chande (Mtanzania wa kwanza kukiri
kuwa Mwanachama wa Freemasons) mara alipokuwa akiwasili kwenye hafla
hiyo.Endelea hapa>>>>>
0 comments:
Post a Comment