TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, June 27, 2012

HUYU NDIO MCHEZAJI WA UGANDA ALIYEFIA KWENYE MECHI.

10:28 PM
Mashabiki wa mpira wa miguu huko Sironko Uganda wamepata mshituko baada ya mchezaji kuzimia kwenye uwanja wa mpira na kufariki dunia wakati akipelekwa hospitali.
Simon Musika ana umri wa miaka 30 na alicheza kwenye hiyo mechi ya timu za mitaani kwa dakika 15 kabla ya kuzimia na kufariki dunia ambapo baada ya taarifa za kifo chake ilibidi mechi isimamishwe.
Ndugu wa marehemu walikusanyika kwenye uwanja wa mpira muda mfupi tu baada ya kifo cha mchezaji huyo.
source:-

Millard Ayo


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA