| Afisa Mkuu wa Kiufundi Zantel Moncef Mettiji akitoa hotuba yake kwa niaba ya Afisa Mkuu Mtendaji wakati wa ‘Usiku wa Zantel’ hafla iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge ya wabunge Dodoma. |
| Afisa Mkuu wa Kiufundi Zantel Moncef Mettiji akimkabidhi modems Naibu Spika Mhe. Joe Ndungai zilizotolewa na Zantel kwa ajili ya ofisi za bunge za Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar |
| Wageni waalikwa mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika mwisho mwa Wikeend mjini Dodoma. |
| ||
|
0 comments:
Post a Comment