TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, July 13, 2011

UPASUAJI WA PASCAL WAFANYIKA SALAMA.

7:56 PM
ascal Issa Amri akiwa Hospitali ya CCBRT wodi ya Mifupa baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuondolewa mfupa wa ziada uliomtesa kwa miaka 17 akiwa ameshika kikopo kilichohifadhiwa mfupa uliondolewa ambao umepelekwa Hospitali ya Muhimbili kwa uchunguzi zaidi  
Na.Mwandishi wetu.

Zoezi  la upasuaji  wa kuondoa mfupa wa ziada kwa Kijana Pascal Issa ambalo liliendeshwa mwanzoni mwa wiki hii, limefanikiwa na kwamba Pascal anaendelea vizuri  na amelazwa katika hospitali ya CCBRT JIJINI Dar es salaam.

Pascal ambaye alilazwa Jumapili baada ya kupata msaada kutoka kwa Bw SALUM AWADHI  na hospitali hiyo ya CCBRT anaendelea vizuri na mfupa uliondolewa umepelekwa katika hopsitali ya Taifa ya Muhimbili  kwaajili ya uchunguzi zaidi.

Kwa upande wa Madaktari waliendesha upasuaji huo uliochukua Saa NNE wamesema, upasuaji huo umefanyika kwa mafanikio makubwa na kwamba Pascal ataendelea kubaki hospitali hapo kwa uangalizi zaid mpaka atakapojiskia vizuri sambamba na kusubiri majibu ya Mfupa huo uliotolewa .

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA