Kikosi
kamili cha Timu ya Tifa ya Oman mpira wa Ufukweni ambacho kimefunzu
kucheza fainali za kombe la Dunia mwaka huu nchini Italy. Kikosi hiki
kinafundishwa na kocha wa zamani wa Simba Twalib Hilal (wa pili kushoto
walio simama). Kikosi hiki kipo njiani kuelekea nchini Brazil kuweka
kambi kwaajili ya mashindano hayo.
Makundi yatakayochuana katika fainali hizo.
Kocha wa Oman, Talib Hilal akiwa amesimama kando ya Kombe litakaloshindaniwa katika fainali hizo za FIFA Beach World Cup 2011
0 comments:
Post a Comment