TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, July 12, 2011

MSIBA MKUBWA KWA WANA FM ACADEMIA NA WADAU WA MUZIKI WA DANSI

4:19 PM
Uncle bonny wa Kwanza Kushoto( Mwenye kofia nyekundu) Enzi za Uhai wake. Hapa Tulikuwa na bendi ya FM Mjini Arusha.

Usiku wa Kuamkia Jana Tumempoteza Ndugu yetu Boniface Kasyanju aliekuwa akijulikana kwa wengi kwa jina la Uncle Bonny. Uncle Bonny Ni Mdogo wa Mzee Martin Kasyanju ambae ni mmiliki wa Bendi ya FM Academia. Kwa Wapenzi wote wa FM Mtamkubuka Uncle Bonny alikuwa hakosi Getini kwenye show zote za FM. Alikuwa ni mmoja wa Viongozi na Msimamizi wa Shughuli zote za Bendi.
MAZISHI YAKE YATAKUWA LEO SAA 10 JIONI KATIKA MAKABURI YA KINONDONI


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA