Uncle bonny wa Kwanza Kushoto( Mwenye kofia nyekundu) Enzi za Uhai wake. Hapa Tulikuwa na bendi ya FM Mjini Arusha.
Usiku wa Kuamkia Jana
Tumempoteza Ndugu yetu Boniface Kasyanju aliekuwa akijulikana kwa wengi
kwa jina la Uncle Bonny. Uncle Bonny Ni Mdogo wa Mzee Martin Kasyanju
ambae ni mmiliki wa Bendi ya FM Academia. Kwa Wapenzi wote wa FM
Mtamkubuka Uncle Bonny alikuwa hakosi Getini kwenye show zote za FM.
Alikuwa ni mmoja wa Viongozi na Msimamizi wa Shughuli zote za Bendi.
MAZISHI YAKE YATAKUWA LEO SAA 10 JIONI KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
|
0 comments:
Post a Comment