TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, April 7, 2011

VURUGU ZA WANAFUNZI NA ASKARI DODOMA .

11:28 PM
Mmoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Pascal Robert, akilalama kuhusu kitabu cha Katiba mpya kwa hisia kali wakati wanafunzi hao walipofika na kutaka kuingia kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa kwa ajili ya kusikiliza mchakato wa kupata maoni ya kupata Tume ya Katiba leo mchana. Askali Polisi akilinda eneo hilo wanafunzi wasirejee baada ya kutawanywa kwa mabomu ya machozi.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa na mabango wakati walipofika eneo la ukumbi wa Pius Msekwa.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA