Haya
ni maandamano ya wanachama wa vilabu mbalimbali hapa nchini wakiwa
kwenye maandamano ya kuelekea kwenye viwanja vya Lidaz Club,kwa ajili ya
Bonanza la Serengeti Fiesta soka bonanza,yote hiyo ikiwa ni maandalizi
ya kuelekea tamasha kubwa la Serengeti Fiesta 2011.Yameletwa kwenu kwa
hisani/udhamini mkubwa wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Ltd.Hivi
sasa mashabiki wa vilabu hivyo wako hapa kwenye viwanja vya Lidax Club
wakichuana vilivyo.













2 comments:
Ni kitu cha ajabu sana, mapenzi na timu zenu hamna, kama umati huo ungeshangilia timu ya Taifa tungekuwa mbali, sasa kama nyie wazalendo njoo mshangilia under 23
OYA MBEYA VIPI MNAKUJA AU NDO MMETUSAHAU?
Post a Comment