TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, March 7, 2011

TEKNOLOJIA YA KUKAGUA UBORA WA PIKIPIKI YATUA DAR

7:58 PM
KAMPUNI ya Kishen Enterprises Ltd kwa kushirikiana na Kampuni ya Safe Wheels Tecnologies Ltd, imezindua utaratibu wa  kuhakiki ubora pikipiki zake iwanda wa Wizara ya Viwanda na Biashara,  Eline Sikazwe (kushoto), akipata maelezo ya jinsi vifaa vunavyoungwa hadi kukamilika pikipiki, wakati wa uzinduzi wa teknolojia hiyo, leo. Anayempatia maelezo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kishen na Safe Wheels, Rajen Solanki (wapili kushoto).
Mfanyakazi wa kampuni ya Kishen, akionyesha jinsi pikipiki inavyopimwa ubora ikiwa kwenye mashine maalu iliyopo, Buguruni, Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA