TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, March 30, 2011

KUIONA SIMBA NA TP MAZEMBE ELFU AROBAINI KIINGILIO CHA JUU NA CHINI ELFU TANO

3:16 PM
Klabu ya SIMBA imetangaza kiingilio cha juu kuino SIMBA na timu ya TP MAZEMBE ni shilingi elfu arobaini wakati mzungungu ni elfu tano katika mchezo uliopangwa kufanyika jumapili kwenye uwanja wa TAIFA kuanzia saa tisa na nusu Jijini DSM.

Msemaji wa SIMBA NDIMBO amesema mchezo huo umepangwa kuanza majira hayo ili kuwapa nafasi wapenzi wa SIMBA kuangalia mapema mchezo huo ambapo kiingilio kingine ni elfu thelathini, elfu ishirini na elfu kumi.


Kikosi hicho kipo chini ya kocha MZAMBIA PATRICK PHIRI ambaye ametua nchini baada ya kumaliza matatizo katika familia yake,kocha huyo atasaidiwa na AMRI SAID .


Mchezaji AMRI KIEMBA anasubiri majibu ya daktari iwapo atacheza mchezo dhidi ya TP MAZEMBE kutoka na mcheza huyo kushindwa kucheza mchezo dhidi ya KAGERA SUGAR

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA