| Dereva wa kibajaji hicho akijaribu kutoka huku damu zikiwa zinamtoka nyingi sana maeneo ya usoni kwake na alivyoshuka alikuwa akichechemea kuashiria amepata majeraha kwenye miguu yake. |
| Dereva wa kibajaji hicho kama unavyomuona akisindikizwa na wasamaria wema akipelekwa kwenye gari ili kukimbizwa hospital |
0 comments:
Post a Comment