TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, March 30, 2011

Ajali maeneo ya FAO mbele kidogo na Victoria jana usiku.

3:26 PM
Dereva wa kibajaji hicho akijaribu kutoka huku damu zikiwa zinamtoka nyingi sana maeneo ya usoni kwake na alivyoshuka alikuwa akichechemea kuashiria amepata majeraha kwenye miguu yake.



Dereva wa kibajaji hicho kama unavyomuona akisindikizwa na wasamaria wema akipelekwa kwenye gari ili kukimbizwa hospital


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA