TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, February 21, 2011

ROSTAM AZIZI AITESA TANZANIA!!!....??

7:15 PM
Mh.Rostam Aziz ametajwa na mmiliki wa DOWANS kuwa alikuwa anahusika na kampuni hiyo kwa namna moja ama nyingine kwamba alikabidhiwa kuiongoza dowans Tz.

  Kiinimacho hiki kimejitokeza mwishoni mwa wiki hii baada ya mliki wa DOWANS kujitokeza kutoka Oman na kudai kuwa yeye ndiye mliki wa kampuni hiyo akiwa na hisa nyingi zaidi wakati jina lake halipo katika usajili wa kampuni na katika majina aliyotaja Mh.Ngereja halikuwamo la Mohammed yahya.

  Hii ni kuwatania watanzania wengi wenye uchungu na nchi yao kwani kama Mh rosta alijua anahusika kwanini alinyamaza kimya na kusumbua akili za mamilioni ya watanzania.

  Inamaanisha ripoti ya Mh. Mwakyembe ni ya uongo!? jamani hata waziri ista anaweza kuidanganya umma..? hatuamini sana kauli ya huyo mwarabu.

  kuna umuhimu wa viongozi wa ngazi za juu kuchukua hatua za haraka kupoza hasira za watanzania wengi kwa kuweka mambo bayana, na hapo ndipo watanzania wengi watakumbuka sera za Mch.Mtikila.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA