Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein,akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe.Benjamin Willium Mkapa, katika sherehe za miaka 49 ya Uhuru ziliofanyika jana uwanja wa uhuru Jijini Dar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akiwasalimia wananchi waliohudhuria sherehe za Miaka 49 ya Uhuru , zilizofanyika jana Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.
Vijana wa Halaiki wakicheza halaiki kwa maamkizi kwa wageni waliohudhuria katika sherehe za miaka 46 ya Uhuru,zilizofanyika jana,Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Jakaya Mrisho Kikwete,akikagua Gwaride rasmi la majeshi ya Ulinzi,wakati wa sherehe za miaka 49 ya Uhuru wa Tanganyika.
Ndege za Jeshi la wananchi zikipita angani kusalimia,katika sherehe za Uhuru kutimia miaka 49 uwanja wa Uhuru Jijini Dar.

Wananchi waliohudhuria sherehe za Uhuru. Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
Wananchi waliohudhuria sherehe za Uhuru. Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
Askari wa Kikosi cha Jeshi la Polisi cha Kutuliza Ghasia (FFU), akilinda usalama wakati wa maadhimisho hayo. Askari huyo ni miongoni mwa askari waliokuwa wanalinda msafara wa rais.
0 comments:
Post a Comment