TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, November 24, 2010

Tanzania yaonesha maujuzi katika food bazaar geneva

8:49 AM

Banda la Tanzankia kwenye Food Bazaar linalofanyika kila mwaka huko Geneva, Uswissi, na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali zenye balozi zao huko. Misosi ya Tanzania ilikuwa kivutio kikubwa na wengi walivutiwa na mtori, makande na nyama choma
Kinamama waliofanikisha hafla hiyo kwa kupika misosi ya nguvu

Balozi wetu Uswisi Mh. Marten Lumbanga akichagua msosi
Shughuli inaendelea
Mdau Deus Kaganda, ofisa ubalozi huko Geneva,
akisubiri makande anayopakuliwa na mdau Carol Magessa

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA