Kijana anayedaiwa ni dereva Taxi katika kijiwe cha Luxury Bar mjini Iringa chini akiwa amezidiwa kwa kichapo toka kwa mteja wake baada ya kukodi taxi yake ya kugoma kulipa pesa na kutishia kumpiga mwenye mali,vijana hao wamechapana usiku huu kwa zaidi ya nusu saa huku kila mmoja akiwa na nundu usoni baada ya zoezi la piga nikupige huku wakitazamwa na umati wa watu waliokuwepo eneo hilo bila kuamua Hapa wakianza ngumi za mieleka huku wote mashati yakiwa hayatamaniki
0 comments:
Post a Comment