TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, November 23, 2010

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari - Kutangazwa Kwa Baraza La Mawaziri

9:29 PM
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atatangaza Baraza la Mawaziri jipya kesho, Jumatano, Novemba 24, 2010.


Rais kikwete atatangaza Baraza la Mawaziri hilo jipya kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 31, mwaka huu, 2010.


Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu,

DAR ES SALAAM.

23 Novemba, 2010

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA