TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, November 17, 2010

RBP Oil & Industrial Technology Tanzania yatoa msaada wa sh. mil. 4 kwa ajili ya kufanikisha bonanza la watoto yatima

12:39 PM

Rais wa Kampuni ya RBP Oil & Industrial Technology Tanzania LTD,Mama Rahma Al. Kharoos akizungumza leo wakati akitangaza kuisaidia Taasisi ya Popular Sports and Entertainment ambayo imeandaa Bonanza la watoto wapatao 600 toka katika vituo 10 vya kulelea watoto yatima vya jijini Dar.Mama Rahma Al-Kharoos ametoa kiasi cha sh. Milioni 4 taslimu kwa ajili ya kuwezesha kufanyika kwa tamasha hilo siku ya jumapili,Novemba 21 katika viwanja vya Lidaz Klabu.
Rais wa Kampuni ya RBP Oil & Industrial Technology Tanzania LTD,Mama Rahma Al. Kharoos akimkabidhi kitita cha sh. milioni 4, Mkurugenzi wa Taasisi ya Popular Sports and Entertainment Tanzania ambao ndio waratibu wa Bonanza hilo,Osman Kazi katika hafla fupi ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo katika ukumbi wa Coco Beach,jijini Dar.
Timu nzima ya RBP Oil & Industrial Technology Tanzania LTD ikiongozwa na Mama Rahma Al-Kharoos (kati) wakiwa na baadhi ya viongozi wa vituo vya kulea watoto yatima pamoja na baadhi ya watoto hao walioweza kuhudhulia hafla hiyo leo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA