Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege akiombea wa Tanzania ambao walijitokeza kwa wingi katika maombi maalum ya kuliombea Taifa letu la Tanzania na maziwa makuu,shughuli hiyo ilifanyika katika kanisa la Bethel World Outreach Church Silver Spring Md U S A
Pichani kutoaka kulia ni Mch Mwakasege,Balozi wetu wa Tanzania hapa Washington Mh Ombeni Sefue,Mr Jacob na Agustino Malinda ambao kwa hakika jitihada zao ndizo zilizoweza kufanikisha siku hii muhimu sana kwa Taifa letu.
Baadhi ya waumini waliofika katika maombezi ya Mchungaji Mwakasege.
0 comments:
Post a Comment