
Mshambuliji na nahodha wa timu ya taifa ya Ivory Coast Didier Drogba huenda asionekane kwenye fainali za kombe la dunia zilizosaliwa na siku sita kabla ya kuanza kwake huko nchini Afrika kusini.
Drogba ameingia katika hali hiyo ya sintofahamu kufuatia kuumia mkono kwenye mchezo wa kujipima ubavu uliochezwa mapema hii leo dhidi ya timu ya taifa ya Japan iliyokubali kisago cha mabao mawili kwa sifuri.
Drogba ameingia katika hali hiyo ya sintofahamu kufuatia kuumia mkono kwenye mchezo wa kujipima ubavu uliochezwa mapema hii leo dhidi ya timu ya taifa ya Japan iliyokubali kisago cha mabao mawili kwa sifuri.
0 comments:
Post a Comment