TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, June 4, 2010

DROGBA OUT WORLD CUP

11:27 PM



Mshambuliji na nahodha wa timu ya taifa ya Ivory Coast Didier Drogba huenda asionekane kwenye fainali za kombe la dunia zilizosaliwa na siku sita kabla ya kuanza kwake huko nchini Afrika kusini.

Drogba ameingia katika hali hiyo ya sintofahamu kufuatia kuumia mkono kwenye mchezo wa kujipima ubavu uliochezwa mapema hii leo dhidi ya timu ya taifa ya Japan iliyokubali kisago cha mabao mawili kwa sifuri.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA