TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, June 2, 2010

KIPENZI CHA WENGI CHAACHWA AFIKA KUSINI.

12:34 AM



Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Afrika kusini Carlos Alberto Parreira amemuacha mshambuliaji wa klabu ya West Ham Benni McCarthy kwenye kikosi cha wachezaji 23 kitakaoshiriki kwenye fanali za kombe la dunia mwaka huu.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 32 anaeshikilia rekodi ya kupachika mabao mengi akiwa na timu ya taifa ya Afrika kusini ameachwa na kocha huyo huku sababu kubwa ikitajwa ni kushuka kwa kiwango chake pamoja na kuongezeka uzito wa mwili.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA