
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Afrika kusini Carlos Alberto Parreira amemuacha mshambuliaji wa klabu ya West Ham Benni McCarthy kwenye kikosi cha wachezaji 23 kitakaoshiriki kwenye fanali za kombe la dunia mwaka huu.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 32 anaeshikilia rekodi ya kupachika mabao mengi akiwa na timu ya taifa ya Afrika kusini ameachwa na kocha huyo huku sababu kubwa ikitajwa ni kushuka kwa kiwango chake pamoja na kuongezeka uzito wa mwili.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 32 anaeshikilia rekodi ya kupachika mabao mengi akiwa na timu ya taifa ya Afrika kusini ameachwa na kocha huyo huku sababu kubwa ikitajwa ni kushuka kwa kiwango chake pamoja na kuongezeka uzito wa mwili.
0 comments:
Post a Comment