TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, November 1, 2009

NONDOOOZZZZZZZ

11:50 AM
Waandishi wa habari wa gazeti la HabariLeo linalomilikiwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN), (kutoka kushoto) Jamillah Kilahama, Stella Nyemenohi na Maulid Ahmed wakitabasamu baada ya kutunukiwa Shahada zao wakati wa Mahafali ya 21 ya Chuo Kikuu Huria Tanzania, yaliyofanyika Kibaha, mkoani Pwani jana. (Picha na Fadhili Akida).

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA