gavana wa mkoa wa dar mh. william lukuvi akihutubia kwenye mnuso wa dansi na lanchi ya usiku kuchangia elimu kwa wasichana walio kwenye maisha magumu (somesha mtoto wa kike project) katika ukumbi wa mlimani city conference hall usiku huu
unity of women friends (UWF) waliofanikishamnuso huu wa somesha mtoto wa kike (SOMKI)
na mwanae waliwakilisha vyema mkuki na nyota
wadau kibao
yenu la in afrika band lilichengua
baadhi ya wanufaika wa mpango huu wa SOMKI
in afrika wakiwa kazini
0 comments:
Post a Comment