TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, November 15, 2009

BONANZA LA WASANII NCHINI TANZANIA LAZIDI KUNOGA MNAKARIBISHWA WADAU WOTE

7:08 PM
Rais wa Taff bwana Salum Mchoma pamoja na Joyce Kiria Nkon"go muendeshaji wa kipindi cha Bongo movie wakiwa makini kuzungumzia jambo flani hivi ..

Mama yake na Monalisa Suzan Lewis (Natasha ) naye alikuwepo.....

Jini Kabula ndani ya pozi na mtoto wa ukwelI, sijui ni wa kwake?

Yusuph Mlela kijana wa (Milionea Club)

Wacha maneno yako weeeeee, Mzee Magari akiwa na mrembo ndani ya viwanja vya Readers Club katika bonanza la wasanii lifanyikalo kila jumamosi. Nyote mnakaribishwa..

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA