Rais wa Taff bwana Salum Mchoma pamoja na Joyce Kiria Nkon"go muendeshaji wa kipindi cha Bongo movie wakiwa makini kuzungumzia jambo flani hivi ..
Mama yake na Monalisa Suzan Lewis (Natasha ) naye alikuwepo.....
Jini Kabula ndani ya pozi na mtoto wa ukwelI, sijui ni wa kwake?
Yusuph Mlela kijana wa (Milionea Club)
Wacha maneno yako weeeeee, Mzee Magari akiwa na mrembo ndani ya viwanja vya Readers Club katika bonanza la wasanii lifanyikalo kila jumamosi. Nyote mnakaribishwa..
0 comments:
Post a Comment