Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, akimkagua macho mtoto Nasra Muhidin wa Kituo cha yatima na waathirika wa ugonjwa wa ukimwi cha UWAVITA cha Liwale wakati alipokitembelea akiwa katika ziara ya Waziri Mkuu mkoani Lindi, jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Mke wa Waziri Mkuu
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, akimkagua macho mtoto Nasra Muhidin wa Kituo cha yatima na waathirika wa ugonjwa wa ukimwi cha UWAVITA cha Liwale wakati alipokitembelea akiwa katika ziara ya Waziri Mkuu mkoani Lindi, jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment