TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, November 6, 2009

AJALI IRINGA

9:51 AM
Askari wa usalama barabarani mkoa wa Iringa wakipima eneo la ajali baada ya Tax iliyokuwa ikitumiwa na ndugu wa mwanafunzi Rehema Ismail ambaye mmoja kati ya wanafunzi wawili wa VETA Iringa aliyeuwawa kwa kupigwa risasi wakitoka kuzika eneo la Mlowa mjini Iringa leo katika ajali hiyo watu wawili wamejeruhiwa

Pia katika ajali ya pili iliyotokea usiku huu katika mlima wa Ipogolo mjini hapa basi la kampuni ya Hood limeligonga kusudi basi la Sumry ambalo pia linafanya safari zake kati ya Mbeya na Arusha ,Hood limeanza vurugu hizo kutokana na kushindwa kumudu ushindani wa kibiashara

Abiria waliokuwemo katika basi la Hood wameieleza blog hii kuwa dereva wa Hood toka wakiwa njiani alikuwa akimtishia dereva wa Sumry kuwa itakuwa vigumu kwake kufika Mbeya bila kusababishiwa ajali vitisho ambavyo vimetimizwa mjini Iringa.

Katika tukio hilo la ajali hakuna aliyepoteza maisha wala kupata majeraha ya kutisha.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA