Rais wa Zanzibar, Dk Amani Abeid Karume, akitoa ushauri kwa mkandarasi wa idara ya ujenzi wa barabara,Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi, Khamis Masoud (kulia) wakati alipokwenda kuona maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Mgagadu -Kiwani Kusini Pemba leo. Katikati ni Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi , Machano Otman Said.(Picha na Ramadhan Othman).
Home
»
»Unlabelled
» Rais wa Zanzibar
Rais wa Zanzibar
10:48 AM
Mshirikishe Mwezako Kupitia:
0 comments:
Post a Comment