Wakazi wa Kata ya Kipawa mkoani Dar es Salaam wakiwa kwenye mkutano leo katika Shule ya Msingi, Kipawa, kujadili mchakato wa kulipwa fidia ili wahame katika maeneo wanayoishi kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, mkoani humo.
0 comments:
Post a Comment