Kwa jina anaitwa Chege Chigunda kutoka kundi la Tmk Family akikamua peke yake jukwaani bila ya baadhi ya wasanii wa kutoka kundi hilo na kufanya vyema kabisa kwa mashabiki wao ambao walionekana kumshangilia kwa kiasi kikubwa Chege
Msanii mahiri wa Hip Hop kutoka kundi la Familia,Chid Benz akionesha umahiri wake wa kufloo mitindo huru a.k.a Free style mbele ya mashabiki wa tamasha la fiesta ambalo lilifana sana mwishoni mwa wikend.
Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Prof Jay akikamua mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa mji wa dodoma waliofika kwenye tamasha la fiesta mwishoni mwa wiki
0 comments:
Post a Comment