MKUTANO WA WANAFUNZI WA TANZANIA WAISHIO NEW DELHI
Uongozi wa TASA - NEW DELHI, unapenda kuwatangazia wanachama wake wote, kuwa Jumamosi wiki hii kutakuwa na mkutano wa wanachama wote, Mkutano utakaofanyika nyumbani kwa BENARD RUTA,Maeneo ya JAIPUR karibu na Central Market, SAA kumi za jioni.
Mada zitakazozungumziwa ni pamoja na
- Salam kutoka kwa Mheshimiwa BALOZI KIJAZI.- Upitishwaji wa Katiba ya TASA.
-Maandalizi ya BONANZA la watanzania.
- Kuwakaribisha wanafunzi wapya.
- Na mengineyo.
Tafadhali anayepata taarifa hii amtaarifu na mwingine na yule asiyepafahamu awasiliane na BEN kwa Namba
9910232724.
WOTE MNAKARIBISHWA.
0 comments:
Post a Comment