TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, September 20, 2009

Kuku sasa wateketezwa kwa moto

12:35 PM

Wakati kazi ya uendelezaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura katika Mkoa wa Kaskazini Pemba ikiendelea, vitendo vya hujuma sasa vimehamia kwenye mifugo ambapo kuku zaidi ya 100 wa Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa Kaskazini Pemba wameteketezwa kwa moto.

Katibu Mwenezi huyo, Kombo Hamad Yussuf, mkazi wa Kijiji cha Kangagani katika Jimbo la Ole Wilaya ya Wete, alikumbwa na kadhia hiyo usiku wa manane juzi ambapo alijulishwa na majirani zake kuwa banda lake la kuku lililopo nje kidogo ya kijiji anachoishi kuchomwa moto na kuku wote kuteketea.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA