TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, September 20, 2009

Menejimenti TRL kufungasha virago

12:56 PM

Uhai wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umeendelea kuwa mashakani baada ya Menejimenti ya kampuni hiyo kutoa notisi ya siku 60 kuanzia Septemba 10, mwaka huu na kutishia kuondoka iwapo muafaka baina ya Serikali na Rites hautafikiwa.

Kwa mujibu wa notisi hiyo, hadi Novemba 9, 2009 iwapo hakutakuwa na muafaka baina ya Serikali na Rites, menejimenti ya TRL itafungasha virago.

TRL inaendeshwa na menejimenti kutoka India ambayo imeajiriwa na kampuni ya Rites inayomiliki asilimia 51 ya hisa ndani ya kampuni ya TRL wakati Serikali ina hisa 49.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA