TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, August 14, 2009

JK akabidhi hati za kimila za ardhi kijiji cha Msindo, Wilayani Namtumbo,Mkoani Ruvuma

2:36 PM
JK akimkabidhi hati ya kumiliki ardhi kimila Mzee Swedi Maulid wa kijiji cha Msindo,wilaya ya Namtumbo jana.Pembeni anayeshuhudia ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi john Chiligati.Ardhi yote ya kijiji cha Msindo imepimwa kwa matumizi ya makazi,malisho ya mifugo na kilimo na wananchi wamepewa hati za umiliki wa ardhi yao.
JK akikagua masjala hati za kumiliki ya ardhi kimila katika kijiji cha Msindo, wilayani Namtumbo jana muda mfupi kabla ya Rais kugawa hati miliki za kimila kwa wanakijiji wa Msindo.Kushoto ni Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya Makazi John Chiligati,Katibu Mkuu wa wizara hiyo Bi.Salome Sijaona na Mbunge wa jimbo la Namtumbo Mhe.Vita Kawawa.


0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA