Mkuu wa Wilaya Chato, Rodric Mpogolo (aliyesimama katikati) akiongea na wananchi kwenye Uwanja wa CCM Katoro juzi (Jumamosi) wakati wa ufunguzi wa Michuano ya Kombe la Amani na Upendo iliyoandaliwa na Gazeti la Championi linalochapishwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd.
Mkuu wa Wilaya Chato, Rodric Mpogolo, akikagua na kusalimiana na…
0 comments:
Post a Comment