TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, February 25, 2013

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya, linawashikilia watu 13, wakiwemo askari wawili wa Jeshi la wananchi (JWTZ) na polisi mmoja kwa matukio ya mauaji na unyang'anyi wa kutumia silaha.

11:30 PM

 
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Diwani Athuman amesema watuhumiwa hao wamewagawanya katika makundi mawili, ambapo kundi la kwanza ni la watuhumiwa 9 wakiwemo askari hao wawili wakidaiwa kuhusika na tukio la kuwaua kikatili na kisha kuwazika dereva na utingo wake 
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Diwani Athuman akiwa na viongozi wenzake wa jeshi hilo la polisi wakati wa kuongea na waandishi wa habari wa Mbeya 
Silaha zilizokamatwa na jeshi hilo la polisi ndizo zilikokuwa zinatumika na majambazi hayo 
Moja ya bastola iliyotengenezwa kienyeji kwa kutumia vipande vya bomba lakini inatumia risasi za kawaida na nihatari sana silaha hii 
Hizi ni vifaa vilivyokamatwa katika matukio mbalimbali yaliyotokea mkoani hapa kamanda amewaomba wananchi wa mbeya kuja kuvitambua ofisini kwakwe
kwa picha zaidi bofya read more
Hizi ni silaha na sare za jeshi ambazo walikuwa wanatumia majambazi hao waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji 
Waandishi wa habari wakimsikiliza kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya 
Mfanyabiashara maarufu wa eneo la Mwanjelwa, Gath Mbilinyi (32), anayetuhumiwa kuteka na kuua 
Hawa ndiyo wanaotuhumiwa kuwaua dereva na utingo wake na kisha kwenda kuwazika porini
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA