TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, July 11, 2012

KAMPENI YA 100% TZ FLAVA KWA WAKAZI WA KILIMANJARO

9:27 PM


 Wateja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakiburudika na bia yao huku wakipagawishwa na shoo ya nguvu  iliyofanywa na wasanii wa bia hiyo katika mji mdogo wa Himo Mkoa wa Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kampeni ya 100% TZ Flava inayoendeshwa na bia hiyo kwa lengo la kuwaunganisha Watanzania nchini kote kupitia burudani mbalimbali na mambo yanayomtabulisha Mtanzania
 Mteja wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambaye ni kiziwi akiwapagawisha wateja katika mji mdogo wa Himo Mkoa wa Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kampeni ya 100% TZ Flava inayoendeshwa na bia hiyo kwa lengo la kuwaunganisha Watanzania nchini kote kupitia burudani mbalimbali na mambo yanayomtabulisha Mtanzania.
 Wacheza shoo wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakiwaburudisha wateja katika mji mdogo wa Himo Mkoa wa Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kampeni ya 100% TZ Flava inayoendeshwa na bia hiyo kwa lengo la kuwaunganisha Watanzania nchini kote kupitia burudani mbalimbali na mambo yanayomtabulisha Mtanzania
 Wacheza shoo wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakiwaburudisha wateja katika mji mdogo wa Himo Mkoa wa Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kampeni ya 100% TZ Flava inayoendeshwa na bia hiyo kwa lengo la kuwaunganisha Watanzania nchini kote kupitia burudani mbalimbali na mambo yanayomtabulisha Mtanzania
Wateja wa Bia ya Kilimanjaro  Premium Lager wakicheza muziki wa “alaji” katika mji mdogo wa Himo Mkoa wa Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kampeni ya 100% TZ Flava inayoendeshwa na bia hiyo kwa lengo la kuwaunganisha Watanzania nchini kote kupitia burudani mbalimbali na mambo yanayomtabulisha Mtanzania. (Picha: kwa hisani ya Executive Solutions)

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA