TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, July 4, 2012

BREAKIN NEWZZZZ!!; MWANAFUNZI AUWAWA KINYAMA MBEYA.

11:53 PM
Samahani kwa picha hizi



Hii ndiyo pikipiki inayodaiwa mwanachuo huyo kuiiba

Hiki ni kitambulisho cha mwana chuo huyo



Mwananchuo wa chuo cha ualimu cha ST Aggrey kilichopo uyole jijini mbeya anasadikiwa kufariki dunia baada ya kupigwa na wananchi wenye hasira kali katika maeneo ya Isanga kwa tuhuma zakuiba pikipiki zakusafirishia abiria maarufu kama bodaboda.

Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo PRAY GOD MGONJA amemtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni VEDASTO PIUS anayekadiriwa kuwa na umri kati 25 mpaka 30 .

Mgonja amesema tukio hilo limetokea mnamo july 2 mwaka huu majira ya saa 8 za mchana katika daraja lilopo karibu na hotel ya Rift Valley barabara yakuelekea isanga jijini mbeya.

Amesema mtuhumiwa amekumbwa na mkasa huo baada yakupewa taarifa za kuibiwa kwa pikipiki yenye No T 438BZU aina T-BETTER yenye alama ya chama cha Demokrasia na maendeleo mali ya JOSEPH KAPASI(23)mkazi wa Ilomba jijini hapa

 
Kwaupande wake mmiliki wa pikipiki hiyo JOSEPH KAPASI amesema aliombwa kumfundisha mtuhumiwa huyo na baadae alipoanza kuendesha vizuri alitokomea nayo na marabaada ya hapo alipatikana eneo la isanga akielekea barabara ya chunya ili aibe na ndipo akakamatwa na wanainchi wenye hasira kali nakuanza kumpa kichapo ambacho kimemfanya azirai.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA