TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, July 5, 2012

BANDA LA MeTL LATIA FORA MAONYESHO YA SABASABA KWA BIDHAA BORA NA ZA KISASA.

7:59 AM

Muonekano wa banda la MeTL kwa nje ukionyesha wateja kadhaa wakitoka baada ya kujipatia mahitaji yao.
Mmoja wa wafanyakazi katika banda la kampuni ya Mohammed Enterprses Tanzania Limited (MeTL) akionyesha unga wa ‘Safi’ unaotengenezwa na kampuni hiyo.
Mafuta aina ya ‘Safi’ yanayopatikana katika banda la hilo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
Maji safi ya kunywa aina ya ‘Maisha’ ambayo pia yapatikana kwa bei rahisi katika banda la MeTL kwenye maonyesho ya Sabasaba.
Vitengee, Khanga venye ubora navyo vinapatikana.
Moja ya Bango ndani ya banda hilo linaloonyesha shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA