TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, July 31, 2012

APOTEZA MAISHA KWA KUGONGWA NA TRAIN MOROGORO

10:52 AM
Hapo ni sehemu ambayo wanashanga hao vijana watatu , ni sehemu ambayo alikuwa amesimama marehemu akiwa anajaribu kusimamisha treni.(mjini morogoro maeneo ya kilima hewa)
SAMAHANI KWA PICHA HII. Huyu ni Marehemu ambaye jina lake alijajulikana hadi naondoka, kwani alikuwa anahitaji kusimamisha treni, Ila habari zinazidi kusema kuwa alikuwa na mapungufu ya akili.
Hapo ni sehemu ambayo alikuwa anaishi marehemu, ambaye anamapungufu ya akili. Ata hivo sehemu hiyo inamilikiwa na Mamlaka ya Treni ambacho kwa wakati ya zamani kilikuwa kinatumika kwa mlizi wa kusimamisha magari.

 Mmoja wa Shuhuda Bw Omari akitoa maelezo kwa askari polisi wa barabarani.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA