TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, July 19, 2012

ANNE MAKINDA ALIPOAMUA KUWADHARAU WATANZANIA

6:09 PM
Kufuatia taarifa za ajali ya meli zilizokuwa zimeshafika Bungeni, huku watu takriban 250 wakisemekana walikuwa kwenye meli iliyokuwa ikizama huko pwani ya Zanzibar, mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed, alilazimika kumuomba mheshimiwa spika "kwa heshima na busara zake" aahirishe Bunge ili wabunge wakaungane na Watanzania wenzao katika tukio hilo. Cha ajabu sana, spika akakataa kuahirisha Bunge kwa madai hakuna wanaloweza kufanya.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA