TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, June 19, 2012

Rais Jakaya Kikwete Aapisha Majaji Wapya Wa Mahakama Kuu

10:49 PM
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Francis Mutungi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Jacob Mwambegele kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Joaquine Antoniette De-Mello kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman na Jaji Kiongozi Mhe Fakihi Jundu pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania aliowaapisha leo Juni 19, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mh Angela Kairuki, Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman, Mwanasheria Mkuu wa Serikali JAji Werema na Jaji Kiongozi Mhe Fakihi Jundu pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania aliowaapisha leo Juni 19, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam.Picha na IKULU

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA