Mwenyekiti Mtendaji wa
Makampuni ya IPP Dk. Reginald Mengi akifafanua jambo alipokutana na
Mkurugenzi Mkuu wa Mambo ya Nje wa Ufaransa anayeshughulikia Ukanda wa
Afrika na Bahari ya Hindi, Elisabeth Barbier alipomtembelea Ofisini
kwake kwa mazungumzo jijini Dar es Salaam
0 comments:
Post a Comment