TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, April 4, 2012

Tangazo Kuongozi Wa Azania Bank

8:20 PM
Uongozi wa Benki ya Azania, (Azania Bank Ltd) unapenda
 kuwaaarifu wateja wake na wananchi kwa ujumla ya kwamba
 matawi yake mapya ya Arusha City na Moshi mjini sasa yamefunguliwa
 ili kutoa Huduma za kibenki. 

Tawi la Arusha City lipo Mtaa wa Wapare,  jengo la Joshmall 
Hotel na Tawi la Moshi lipo Mtaa wa Sokoni. Kwa
 Maelezo zaidi  piga simu Makao makuu ya Benki Dar es salaam
 namba +255 22 2118025/6. Au Tawi la Moshi na +255 27 2754560 
 na tawi la Arusha City na +255 27 2547354/5.

Pia Benki inapenda kuwaaarifu wakazi wa Mwenge , Dar es salaam
 na maeneo ya karibu yake kuwa Tawi letu jipya la Mwenge lililopo 
karibu na kituo cha basi Mwenge( jengo la Jamirex) lililofunguliwa 
Dec 2011 linaendelea kutoa Huduma zote za Kibenki. 

Matawi mengine ya Azania Bank yapo Masdo House, Samora 
Avenue, Tegeta na Kariakoo jijini  Dar es salaam. Kahama –
Shinyanga, Mbauda jijini Arusha. Mwaloni na Mtaa wa Nkrumah 
jijini Mwanza. Karibuni sana mpate Huduma bora za kibenki.


“IMETOLEWA NA 
UONGOZI WA AZANIA BANK LTD”.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA