TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, March 16, 2012

Dua Kwa Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Marehemu Salum Amour Mtondoo

8:53 PM
Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhili Soraga akitoa Mawaidha katika mazishi ya aliekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Zanzibar Marehemu Salum Amour Mtondoo huko Bumbwini Mkoa wa Kaskazini Unguja Jana.
 Waheshimiwa mbalimbali pamoja na Wananchi waliohudhuria katika kumuambea Dua aliekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Marehemu Salum Amour Mtondoo hapo katika Msikiti Mkuu wa Bububu Mjini Zanzibar Jana.Picha na Yussuf Simai-Maelezo, Zanzibar

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA