Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhili Soraga akitoa Mawaidha katika mazishi ya aliekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Zanzibar Marehemu Salum Amour Mtondoo huko Bumbwini Mkoa wa Kaskazini Unguja Jana.
Waheshimiwa mbalimbali pamoja na Wananchi waliohudhuria katika kumuambea Dua aliekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Marehemu Salum Amour Mtondoo hapo katika Msikiti Mkuu wa Bububu Mjini Zanzibar Jana.Picha na Yussuf Simai-Maelezo, Zanzibar
|
0 comments:
Post a Comment