TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, January 28, 2012

UNHCR kuhakikisha kuwepo utulivu kwenye kambi ya Dadaab

1:15 PM
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linasema kuwa linatafuta mbinu za kuhakikisha kuwa huduma kwenye kambi ya Dadaab hazivurugiki. Kati ya hatua ambazo UNHCR inataka kuchukua ni pamoja na kuzihusisha jamii za wakimbizi kwenye masuala ya kila siku kambini kwa kuyafikia makundi tofauti yakiwemo ya wazee, jamii za wafanyibiashara na vijana.
Andrej Mahecic ambaye ni msemaji wa UNHCR anasema kuwa wajibu wa wakimbizi utaenezwa kote kwenye kambi ya Dadaab.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA