| Mtuhumiwa wa wizi wa simu, akiruka kutoka juu ya ghorofa, wakati akifukuzwa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba simu na kuwazidi mbinu na kuwaponyoka, kwa kudandia maghorofa moja baada ya nyingine kama Ninja, kwenye Barabara ya Uhuru, Dar es Salaam leo, kama inavyoonesha katika picha hizi. bofya hapa |
Saturday, January 28, 2012
0 comments:
Post a Comment