TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, October 15, 2011

uhudi za kupambana na upofu nchini Kenya

1:57 PM
daktari atibu mgonjwa wa macho nchini Kenya
Makala yetu ya wiki hii inaangazia siku ya kuona duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka alhamisi ya pili ya mwezi Oktoba. Shirika la afya duniani WHO limesema katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya kuona kwamba mkazo wa kimataifa unapaswa kuelekezwa katika kupunguza upofu, matatizo ya kutoona mbali au karibu na kuwasaidia wasioona.
Maadhimisho ya mwaka huu pia ni ya kuchagiza malengo ya 2020 ya kuhakikisha matatizo ya kutoona yamepungzwa na kutokomezwa yaani “vision 2020” haki ya kuona” juhudi ambazo zimeanzishwa na WHO na shirika la kimataifa la kuzuia upofu. Mwandishi wetu kutoka Nairobi Jason Nyakundi ametuandalia makala kuhusu tatizo la upofu nchini Kenya. Ungana naye.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA