TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, October 15, 2011

Kuwekeza kwa wanawake wa vijijini kutaangamiza njaa na umaskini:Ban

2:00 PM
                           wanawake vijijini
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuwainua wanawake wa vijijini sawia na wanaume akisema kuwa hatua hiyo itachangia kuongezeka kwa chakula na kupungua kwa watu walio na njaa duniani.
Akiongea kabla ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake wa vijijini Ban amesema kuwa hata baada ya wanawake wa vijini kutekeleza wajibu mkubwa wanakosa fursa sawa. Alice Kariuki na taarifa kamili.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA