Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kushoto) akifungulia maji wakati wa uzinduzi wa mradi huo, ambao ulikabidhiwa kwa uongozi wa Soko la Machinga. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano wa TBL, Steve Kilindo ambayo imejenga mradi huo kwa sh. mil. 21. BOFYA HAPA
0 comments:
Post a Comment