Mkuu
wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kushoto)akimwelezea mshindi wa
luninga Sylvester Stewa baada ya kujishindia luninga hiyo katika
promosheni ya Mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo wateja
hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu kila siku,katika Afisa
masoko wa kampuni hiyo Simon Mwambapa
Mkuu
wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kushoto)akimkabidhi hundi yenye
thamani ya Tsh Milioni 11 mshindi wa promosheni ya Mega Mume wa Lady
Jay Dee Gardner Habash(kulia)inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo
wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu kila
siku,katikati Meneja wa Vodacom Henry Tzamburukas
Mshindi
wa promosheni ya Mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Gardner
Habash(kulia)akiangalia hundi yake yenye thamani ya shilingi Milion 11
baada ya kukabidhiwa rasmi na Meneja wa Vodacom Henry Tzamburukas,kulia
ambapo wateja hushiriki na kujishindia fedha taslimu na luninga ya
kisasa kila siku.
Mkuu
wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kushoto)akimuangalia mshindi wa
Tsh Milioni 11, Juvenal Kwayu akifurahia hundi yake aliyejishindia
katika promosheni ya mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo kila
siku wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu.
Mshindi
wa Tsh Milioni 11, Juvenal Kwayu akifurahia hundi yake aliyejishindia
katika promosheni ya mega inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo kila
siku wateja hushiriki na kushinda luninga na fedha taslimu
Mkuu
wa Vodacom kanda ya Pwani Atilio Lupala(kati)akiwa na washindi wa
luninga kujishindia luninga hiyo katika promosheni ya Mega
inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ambapo wateja hushiriki na kushinda
luninga na fedha taslimu kila siku,katika Afisa masoko wa kampuni hiyo
Simon Mwambapa
0 comments:
Post a Comment