TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, October 19, 2011

Ahadi za kimaendeleo ni lazima zitimizwe:Migiro

4:42 PM
                     Naibu katibu mkuu wa UM Asha-Rose Migiro
Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Asha-Rose Migiro ameyataka mataifa kuacha kutegemea misaada. Akiongea kwenye mkutano kuhusu ushirikiano katika maendeleo mjini Luxembourg Bi Migiro amesema kuwa ahadi za kimaendeleo zilizowekwa ni lazima zilindwe na kutimizwa.
Pia amesema kuwa ni lazima kuwe na ushirikiano katika kuhakikisha kuwa misaada inachangia katika maendeleo. Mkutano huo pia unaangazia jinsi ambavyo ushirikiano wa kimaendeleo unaweza kuchangia katika kuafikiwa kwa malengo ya maendeleo ya milenia.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA